Kama ilivyoelezwa hapo juu, tunakopesha Tsh. 1,000,000 (Million moja) tu! hivyo kiasi cha mkopo wa Tsh. 1,000,000 (Million moja) riba yake ni Asilimia 10 hivyo ukichukua mkopo huu wa Tsh. 1,000,000 (Million moja) utatakiwa kurejesha Tsh. Tsh. 1,000,000 (Million moja) pamoja na riba ya asilimia kumi ambayo ni Tsh. 100,000 (Laki moja)
hivyo utatakiwa kurejesha Tsh. 1,100,000 (Million moja na laki moja) utarejesha mkopo uliochukua Million moja na riba yake ni laki moja
Utatakiwa kurejesha kila mwisho wa mwezi Tsh. 55,000 (elfu hamsini na tano) kwa muda wa miezi ishirini (20) sawa na mwaka mmoja na miezi 8 hivyo ndani ya mwaka mmoja na miezi 8 unatakiwa uwe umemaliza kufanya marejesho. tunakupa miezi 20 uwe umemaliza kulipa deni lote la mkopo wa Tsh. 1,000,000 (Million moja) pamoja na riba ya Tsh. 100,000. Kwa kila mwezi utatoa elfu 55 ambayo elfu50 itakua ni rejesho la mkopo wa million moja na elfu 5 itakua ni riba ya mkopo kila mwezi, ndani ya miezi 20 utakua umemaliza kurejesha jumla ya Tsh 1,100,000 (Million moja na laki moja) rejesho lote la mkopo